Abari Yetu
Sisi ni huduma yenyemuchanganyiko wa tamaduni inayo jengwa kwa musingi wa maandiko matakatifu kama ilivyo funuliwa katika bibilia. Tunafanya kazi kwa unyenyekevu pia kwa roho ya upendo, Tunahudumia jamii, taifa letu na ulimwengu wote, pia tuko tunajenga mutandao wa kufikia nafsi zilizo potea, wasio kuwa na tumaini, na kuwahudumia katika heshima munayo istahili. Tunatambulikana katika kusifu yenye upako, kwa wito kwa ujumbe, kwa karama za kiroho, na kuinua mafanyikiyo ya kila mwanamemba.

Ujumbe Wetu
Maranatha African Mission inakuwa na kusudi ya kujenga huduma kubwa ya muchanganyiko ya waumini walio takaswa hapa na katika ulimwengu wote, kuandaa mataifa kwa kurudi ya Bwana wetu Jesu Kristu

Misingi Ya Maana Ya Malengo Yetu
Kusaidia mafanyikio ya kila umoja tuki kuandaa wanamemba
Kwa Imani Kuangazia tumaini kwa vizazi vijazo
Kuhimiza nguvu za umoja kwa vizazi pia na utakaso
Upole, kujali, kujisimamia sisi wenyewe na pia kwa wengine
Kuinua huduma yetu sisi wenyewe kwa kujitowa kwa ujumbe
Kuombeana na kuheshimiana ya kweli sisi kwa sisi
Kuendelesha kazi kwa roho ya umoja na kwa kusaidiana

MaKusudi Yetu
Tutakuwa huduma yenye sifa kubwa kwa kusifu na kuabudu
Tutajenga kusanyiko la muchanganiko lenye umoja wa imani
Tutainuwa uongozi wa vijana utakao wafayikisha
Tutaandaa na kusaidia wamama katika utumishi
Tutasaidia miradi yenye maana pia kushirikiana na wengine
Tutakuwa na mazungumuzo uhusiano na watumishi wote
Huduma Zetu
Uwinjiliste na kuwatembelea washikika/wageni
Huduma ya vijana na watoto
Huduma ya wa mama
Huduma ya wababa
Noa na Huduma kwa jamaa
Huduma ya shemasi
Media and music Ministry
Volunteering
