top of page

Abari Yetu

Sisi ni huduma yenyemuchanganyiko wa  tamaduni  inayo jengwa kwa musingi wa maandiko matakatifu kama ilivyo funuliwa katika bibilia. Tunafanya kazi kwa unyenyekevu pia kwa roho ya upendo, Tunahudumia jamii, taifa letu na ulimwengu wote, pia tuko tunajenga mutandao wa kufikia nafsi zilizo potea, wasio kuwa na tumaini, na kuwahudumia katika heshima munayo istahili. Tunatambulikana katika kusifu yenye upako, kwa wito kwa ujumbe, kwa karama za kiroho, na kuinua mafanyikiyo ya kila mwanamemba.

Church Aisles

Ujumbe Wetu

Maranatha African Mission inakuwa na kusudi ya kujenga huduma kubwa ya muchanganyiko ya  waumini walio takaswa hapa na katika ulimwengu wote, kuandaa mataifa kwa kurudi ya Bwana wetu  Jesu Kristu

Get In Touch
Church Cross

Misingi Ya Maana Ya Malengo Yetu

  • Kusaidia mafanyikio ya kila umoja tuki kuandaa wanamemba

  • Kwa Imani Kuangazia tumaini kwa vizazi vijazo

  • Kuhimiza nguvu za umoja  kwa vizazi pia na utakaso

  • Upole, kujali, kujisimamia sisi wenyewe na pia kwa wengine

  • Kuinua huduma yetu sisi wenyewe kwa kujitowa kwa ujumbe

  • Kuombeana na kuheshimiana ya kweli sisi kwa sisi 

  • Kuendelesha kazi kwa roho ya umoja na kwa kusaidiana

Church Interior

MaKusudi Yetu

  • Tutakuwa huduma yenye sifa kubwa kwa kusifu na kuabudu

  • Tutajenga kusanyiko la muchanganiko lenye umoja wa imani

  • Tutainuwa uongozi wa vijana utakao wafayikisha

  • Tutaandaa na kusaidia wamama katika utumishi

  • Tutasaidia miradi yenye maana pia kushirikiana na wengine

  • Tutakuwa na mazungumuzo uhusiano na watumishi wote

Huduma Zetu

  • Uwinjiliste na kuwatembelea washikika/wageni

  • Huduma ya vijana na watoto

  • Huduma ya wa mama

  • Huduma ya wababa

  • Noa na Huduma kwa jamaa

  • Huduma ya shemasi

  • Media and music Ministry

  • Volunteering

Bible Lessons
bottom of page