Lyrics: Iburahimu
IBRAHIMU
Verse 1
Sauti yake Mungu baba
Ilimujiya iburahimu
Ika mwambiya
nitolee mwana o dhaabibu
Usi muchinje mwanao
Sauti yake Mungu baba
Ilimujiya iburahimu
Ika mwambiya
nitolee mwana o dhaabibu
Chorus
Iburahimu
Najuwa wanipenda
Usi muchinje mwanao o
Ibrahimu
Najuwa wanipenda aaa
Verse 2
Iburahimu
Alisafiri naye Isaaka
Kwenda moriya
Kwa siku tatu
Ilikuwa ni huzuni
Iburahimu
Alisafiri naye Isaaka
Kwenda moriya
Kwa siku tatu
Ilikuwa ni huzuni
Usi muchinje mwanao
Verse 3
Mwana Isaaka ka uliza
Eh baba yangu
Moto na kuni ziko
Lakini kondoo wa dhabiu yuko wapi?
Mwana Isaaka ka uliza
Eh baba yangu
Moto na kuni ziko
Lakini kondoo wa dhabiu yuko wapi?
Usi muchinje mwanao
70 Views

